Mwanariadha, Christian Coleman akiwa katika moja ya mashindano yake aliyoshiriki.
Bingwa wa dunia wa mita 100 katika riadha, Christian Coleman amepigwa marufuku kwa miaka miwili kushiriki mashindano mbalimbali baada ya kukosa kufeli vipimo vya dawa za kuongeza nguvu mara tatu.