Michapo ya ligi ya mabingwa ulaya

Mlinzi wa Liverpool, Fabinho(aliyevaa jezi namba 3) akiwa chini baada ya kuumia katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Midtjylland .

Liverpool iliongeza alama mbili na kwenda juu kileleni mwa Kundi D baada ya ushindi dhidi ya FC Midtjylland usiku wa kuamkia leo lakini hofu imezidi kutanda baada ya kumpoteza Fabinho kwa jeraha la msuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS