Kauli ya John Bocco baada ya kipigo cha jana

Nahodha wa klabu ya Simba, John Bocco 'Adebayor' akiwajibika uwanjani

Nahodha wa klabu ya Simba, John Bocco amewaomba radhi viongozi na wanachama wa mabingwa hao wa ligi kuu Tanzania bara kwa matokeo mabaya waliyoyapata katika mechi mbili mfululizo zilizopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS