Mkwasa azipasha Simba Yanga na Azam Kocha wa Ruvu Shooting, Charles Boniface Mkwasa akiwa kibaruani Kocha wa Klabu ya Ruvu Shooting ya Pwani, Charles Boniface Mkwasa amesisitiza kwamba vilabu vinatakiwa kuwapa nafasi wachezaji wazawa kwakuwa wanauwezo mkubwa wa kucheza mpira wa miguu. Read more about Mkwasa azipasha Simba Yanga na Azam