David Alaba (Kushoto) akiwa na kocha wake Hans Flick baada ya kutwaa ubingwa wa 8 wa Bundesilga.
Mustakabali wa mlinzi David Alaba katika Klabu ya Bayern Munich upo mashakani kufuaia kocha Hansi Flick kusema kwamba mazungumzo ya muda mrefu ya kandarasi hayajawa na mafanikio.