Alaba kutimka Bayern kabla ya msimu kumalizika?

David Alaba (Kushoto) akiwa na kocha wake Hans Flick baada ya kutwaa ubingwa wa 8 wa Bundesilga.

Mustakabali wa mlinzi David Alaba katika Klabu ya Bayern Munich upo mashakani kufuaia kocha Hansi Flick kusema kwamba mazungumzo ya muda mrefu ya kandarasi hayajawa na mafanikio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS