Corona yapiga hodi CAF

Rais wa CAF, Ahmad Ahmad akihutubia moja ya mkutano wao

Rais wa shirikisho la soka Africa Ahmad Ahmad ametangaza kuwa ana maambukizo ya Corona, ikiwa ni siku 3 tangu rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Gianin Infantino kutangaza kuwa na maambukizo ya ugonjwa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS