Masu Bwire awatishia Simba

Afisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire akiwa katika studio za East Africa Radio.

Uongozi wa Maafande wa Ruvu Shooting umejinasibu kutia chumvi kwenye kidonda kibichi kwa kuifunga Simba katika mchezo wa ligi utakaopigwa uwanja wa Uhuru siku ya Jumatatu saa 10 jioni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS