Rais wa Zanzibar, anayemaliza muda wake Dkt.Ali Mohammed Shein akiwa anapiga kura leo visiwani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar, anayemaliza muda wake Dkt.Ali Mohammed Shein amewaomba wananchi ambao bado hawajapiga kura wajitahidi kuwahi ili wapate nafasi ya kuwachagua viongozi wanaowataka