Mhagama,wanawake viongozi wakemea vurugu uchaguzi
Ikiwa zimebaki siku tatu kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Tanzania,wanawake viongozi kutoka vyama mbalimbali vya siasa wamekemea vikali vitendo vya uvunjifu wa amani kwa wale wote wenye nia ovu ya kutaka kuvuruga Uchaguzi huo.