Simba yapangua benchi lake la ufundi Aliyekua meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu akiwa mazoezini na kikosi . Klabu ya soka ya Simba imetoa taarifa kwa umma kuwa kwa makubaliano ya pande zote mbili imeachana rasmi ba kocha wa makipa Mohamed Muharami na meneja wa timu, Patrick Rweyemamu. Read more about Simba yapangua benchi lake la ufundi