Je,Mbowe ni mbuyu uliodondoshwa?
Aliyekua Mbunge wa Jimbo la Hai ambae pia ni Mwenyekiti wa chama Kikuu cha Upinzani, lakini pia alikua Kiongozi Mkuu wa Kambi rasmi ya Upinzani, Freeman Aikael Mbowe, ameshindwa kutetea kiti chake katika Jimbo hilo baada ya kuangushwa na mpinzani wake wa karibu, Saashisha Mafuwe wa Chama