Vita ya Manara na Jerry Muro yarejea tena
Ile vita ya maneno iliyokuwa ikivuma miaka takribani mine iliyopita kati ya Afisa Habari wa Simba, Haji Manara na Aliyekuwa Afisa Habari wa Yanga, ambaye sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro imerejea tena.