Vita ya Manara na Jerry Muro yarejea tena

Haji Manara na Jerry Muro

Ile vita ya maneno iliyokuwa ikivuma miaka takribani mine iliyopita kati ya Afisa Habari wa Simba, Haji Manara na Aliyekuwa Afisa Habari wa Yanga, ambaye sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro imerejea tena.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS