Watano wafariki kwa sababu ya mafuriko Mafuriko (Picha si halisi) Watu watano wafariki Dunia kufuatia Mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Serengeti mkoani Mara huku Kaya 400 zipo hatarini kukumbwa na njaa kufuatia mazao mashambani kusombwa na maji. Read more about Watano wafariki kwa sababu ya mafuriko