
Mafuriko (Picha si halisi)
Wakizungumza kwa masikitiko wanakijiji wa Vijiji 5 vya Kata ya Kisaka wamesema kuwa mvua za mwaka huu zimeathiri vikali mazao yao, kwani yalikuwa yamefikia hatua ya uvunaji.
Aidha Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Nurudin Babu amewataka wananchi kuchukua tahadhari hasa katika kipindi hiki cha msimu wa mvua.