Mtoto wa darasa la 3 apewa mimba Katavi

Mimba za utotoni

Mtoto mwenye umri wa miaka 13 ambaye alikuwa akisoma katika Shule ya Msingi Msakila Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, amekatishwa masomo yake akiwa darasa la 3 kwa kupewa ujauzito ambao sasa una miezi saba na mtu aliyefahamika kwa jina la Salum Mayunga dereva bodaboda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS