Kigogo wa Serikali ahojiwa TAKUKURU kwa saa 2

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima na aibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Hamad Masauni

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima amehojiwa kwa takribani kwa saa 2 na dakika 55 katika ofisi za TAKUKURU - Dodoma, kuhusiana na tuhumu za viongozi wa wizara hiyo kuingia makubaliano kwa kusaini mkataba wa kununua vifaa vya zimamoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS