JPM ampa mbinu ya kuongoza Wizara Simbachawene

Rais wa Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi Simbachawene kutumia mbinu bora katika kuiongoza Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kama ambavyo anafanya Waziri wa Ulinzi Hussein Mwinyi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS