Cheed afunguka kilichomkuta Kenya na Afrika Kusini
Kutoka kundi la King's Music anaitwa Official Cheed, amefunguka kuwa aliwahi kuuza simu yake ili kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kutafuta maisha pia ametueleza mkasa ambao aliokutana nao wakati anarudi Tanzania kutoka nchini Kenya.