Kocha wa Yanga ampiga 'stop' Morrison

Bernard Morrison na kocha Luc Eymael

Kocha mkuu wa klabu ya Yanga, Luc Eymael amesema kuwa hapendi kuona mchezaji wake mpya, kiungo Bernard Morrison akiwadhalilisha wapinzani wake kwa staili yake ya uchezaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS