Kocha wa Yanga ampiga 'stop' Morrison Bernard Morrison na kocha Luc Eymael Kocha mkuu wa klabu ya Yanga, Luc Eymael amesema kuwa hapendi kuona mchezaji wake mpya, kiungo Bernard Morrison akiwadhalilisha wapinzani wake kwa staili yake ya uchezaji. Read more about Kocha wa Yanga ampiga 'stop' Morrison