Jinsi Mawaziri 3 walivyoongoza Mambo ya Ndani
Januari 23, 2020, tulishuhudia Rais Magufuli akimteua Mbunge wa Kibakwe, George Simbachawene, kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, baada ya kumtumbua aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo na Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola.