Jinsi Mawaziri 3 walivyoongoza Mambo ya Ndani

Mawaziri wa Mambo ya Ndani

Januari 23, 2020, tulishuhudia Rais Magufuli akimteua Mbunge wa Kibakwe, George Simbachawene, kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, baada ya kumtumbua aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo na Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS