CUF wafunguka kukamatwa kwa Profesa Lipumba

Profesa Lipumba akipanda gari la polisi, baada ya kukamatwa.

Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama cha wananchi CUF, ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Misima wilayani Handeni, Masoud Mhina amesema kuwa utaratibu uliopo kwa sasa ni kumuwekea dhamana Profesa Lipumba na baada ya hapo mwanasheria atatoa mwongozo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS