CUF wafunguka kukamatwa kwa Profesa Lipumba
Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama cha wananchi CUF, ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Misima wilayani Handeni, Masoud Mhina amesema kuwa utaratibu uliopo kwa sasa ni kumuwekea dhamana Profesa Lipumba na baada ya hapo mwanasheria atatoa mwongozo.