Serikali kutumia Milioni 350 jimboni kwa Mtaturu
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amesema kuwa Serikali itajenga Mnara wa simu wa TTCL, katika Kata ya Misugha Jimbo la Singida Mashariki kwa lengo la kuboresha Mawasiliano Mkoani humo, kufuatia ombi la Mbunge wa Jimbo hilo Miraji Mtaturu.