Jokate aipokea Namthamini, wanafunzi wanufaika
Zoezi la ugawaji wa pedi kwa wanafunzi wa kike katika shule mbalimbali nchini kupitia kampeni ya Namthamini, limeendelea katika mkoa wa Pwani, ambapo shule mbili za wilaya ya Kisarawe zimenufaika na kampeni hiyo.