Mgomo wa Madaktari 2012 ulivyomtesa Kijo Bisimba

Mkurugenzi Mtendaji Mstaafu wa LHRC, Dkt Hellen Kijo Bisimba.

Mkurugenzi Mstaafu wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu hapa nchini (LHRC), Dkt Hellen Kijo Bisimba, amesema miongoni mwa mambo anayoyakumbuka wakati wa utumishi wake ni pamoja na lile tukio la mgomo wa madaktari lililotokea mwaka 2012.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS