Mtendaji wa Serikali asakwa kwa kuwakeketa watoto Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Mtemi Msafiri. Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Mtemi Msafiri, amesema anamsaka Mmoja wa Watendaji wa Kijiji wilayani humo, kwa madai ya kuwakeketa watoto wake na kwamba akikamatwa atachukuliwa hatua za kisheria. Read more about Mtendaji wa Serikali asakwa kwa kuwakeketa watoto