'Anayemtaka Aussems amfuate alipoenda' - Manara

Msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara.

Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara, amefunguka kuwa yeyote anayesema kuhusu kuonewa na kufukuzwa kwa aliyekuwa kocha wao Patrick Aussems, basi amfuate hukohuko alipoenda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS