'Anayemtaka Aussems amfuate alipoenda' - Manara Msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara. Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara, amefunguka kuwa yeyote anayesema kuhusu kuonewa na kufukuzwa kwa aliyekuwa kocha wao Patrick Aussems, basi amfuate hukohuko alipoenda. Read more about 'Anayemtaka Aussems amfuate alipoenda' - Manara