Mvua kubwa kunyesha Mikoa 9 Tanzania
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imetoa tahadhari ya mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha, katika Mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Tanga pamoja na Visiwa vya Unguja na Pemba huku Mikoa ya Rukwa, Mbeya, Songwe na Iringa mvua zikiendelea kunyesha.