Nay wa Mitego asubiri mwongozo wa Karume Rapa Nay wa Mitego Rapa anayefanya vizuri kwa sasa na ngoma ya 'Mbele kwa mbele' amesema inawezekana siku moja akajihusisha na fani ya sheria lakini mpaka aupate mongozo kutoka kwa Rais wa TLS, Fatma Karume. Read more about Nay wa Mitego asubiri mwongozo wa Karume