Pilipili amfungukia 'x' wa mchumba wake
Mchekeshaji maarufu bongo, Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' ambaye hivi karibuni amemvisha pete mchumba wake, amefunguka juu ya tuhuma zinazodaiwa kuwa ametumia pesa kumpata mwanamke huyo kutoka kwa mwanaume wake wa zamani.