Meya wa Jiji la Dar es salaam kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Isaya Mwita.
Meya wa Jiji la Dar es salaam kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Isaya Mwita, ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa kwa tuhuma kufanya maandamano bila kibali.