Maamuzi ya Mahakama, kesi ya Mbowe na Matiko

Mbunge wa Tarime Mjini Esther Matiko, na Freeman Mbowe Mwenekiti wa CHADEMA Taifa.

Mahakama ya Rufani nchini, leo imesikiliza kesi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, na Mbunge wa Tarime Mjini Esther Matiko juu ya hatma ya kufutiwa ama kutofutiwa dhamana yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS