Rais A.Kusini amfuata Magufuli,ubadhirifu wa fedha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amekutana na Rais wa zamani Afrika Kusini na mwenyekiti wa jopo la Umoja wa Afrika linalohusu udhibiti na utakatishaji fedha haramu, Thabo Mbeki ambapo walijadili masuala mbalimbali ikiwemo upambanaji fedha haramu