ACT yaivaa serikali, kupotea kwa wavuvi Katibu Mwenezi wa ACT- wazalendo, Ado Shaibu Chama cha ACT-wazalendo kimeibuka na kuelezea juu ya manyanyaso ya wavuvi nchini ikisema kuwa operresheni iliyoanzishwa na serikali inawaumiza wakulima badala ya kuwasaidia. Read more about ACT yaivaa serikali, kupotea kwa wavuvi