Zahera amvaa tena Ibrahim Ajib 

Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera

Kocha mkuu wa kikosi cha Yanga, Mwinyi Zahera amefichua ukweli juu ya sababu ya kutomchezesha nyota wa timu hiyo, Ibrahim Ajib katika mchezo dhidi ya Mwadui FC licha ya kuonekana kuwa fiti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS