Zahera amvaa tena Ibrahim Ajib Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera Kocha mkuu wa kikosi cha Yanga, Mwinyi Zahera amefichua ukweli juu ya sababu ya kutomchezesha nyota wa timu hiyo, Ibrahim Ajib katika mchezo dhidi ya Mwadui FC licha ya kuonekana kuwa fiti. Read more about Zahera amvaa tena Ibrahim Ajib