Mbunge aliyehamia CCM, afunguka kushawishi wengine

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abdalah Mtolea.

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abdalah Mtolea amesema hajamshawishi Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Katani kuhamia Chama Cha Mapinduzi CCM, na kudai kuwa kiongozi huyo ana msimamo wake binafsi kwa kile atakachohitaji kuamua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS