Nahreel ataka mashabiki watengenezwe Nahreel Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Mkono 'Nahreel' anaeunda kundi la Navy kenzo, amesema vitu vya msingi katika muziki vipewe nafasi kubwa kama vile kiki zinavyo heshimika katika soko la muziki. Read more about Nahreel ataka mashabiki watengenezwe