Lema, Ndugai wapambana tena
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless amedai kuwa Bunge linaloongozwa na Spika wa Bunge Job Ndugai limepoteza mvuto kwa kile alichokidai kuwa maamuzi mengi hayafanywi na Bunge hilo huku akishindwa kueleza ni nani anayefanya maamuzi hayo.