Leta picha za mgomo, nakupa mil.10 - RPC Mwanza

Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza, Jonathan Shana

Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza, Jonathan Shana amefunguka kuwa hakuna mgomo wowote ulijitokeza juu ya wafanyabiashara wa soko la 'Mlango Mmoja' Jijini humo kama ambavyo baadhi ya taarifa zinavyosema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS