Agizo la Rais Magufuli kwa Taifa Stars

Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewatakia mchezo mwema timu ya taifa 'Taifa Stars' katika mchezo wake wa kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika 'AFCON' dhidi ya Lesotho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS