WB yatoa mkopo kwa masharti kwa watoto wa kike
Baada ya kuzungumza na Serikali, makamu wa Rais wa Benki ya Dunia (WB) Kanda ya Afrika, Dkt. Hafez Ghanem amesema kuna masharti wamekubaliana kabla Tanzania haijapewa mkopo wa Dola 300 milioni za Marekani kwa ajili ya kuboresha elimu nchini.