TAKUKURU yakamata vigogo 7 uhujumu uchumi

Makao Makuu TAKUKURU.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Tabora imewapandisha kizimbani Watumishi 7 wa halmashauri 3 za mkoa wa Tabora kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS