Samatta kutua Lesotho kuipa nguvu Stars

Mbwana Samatta

Timu ya taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) imeondoka nchini Afrika Kusini leo kuelekea Lesotho ambako itacheza mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2019 dhidi ya Lesotho ambapo nahodha Mbwana Samatta ataungana na timu licha ya kuwa majeruhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS