Sakata la utoro Bungeni, Lema amjibu Spika
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amekiri kuwa na mahudhurio hafifu ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kile alichokisema kuwa ni kukabiliwa na majukumu mengine ya nje ya ubunge, ambapo aliitaja sababu ya kuhudhuria kesi mbalimbali mahakamani.