Sababu za kukamatwa kwa Meya wa CHADEMA

Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini, Alex Kimbe.

Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini, Alex Kimbe amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia a Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU kwa tuhuma za kupokea rushwa ambapo ni kinyume na sheria za makosa ya jinai nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS