Sababu za kukamatwa kwa Meya wa CHADEMA Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini, Alex Kimbe. Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini, Alex Kimbe amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia a Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU kwa tuhuma za kupokea rushwa ambapo ni kinyume na sheria za makosa ya jinai nchini Read more about Sababu za kukamatwa kwa Meya wa CHADEMA