Ndege za Tanzania kuwafuata kwao Wachina laki 1 Uwanja wa ndege wa Guangzhou Serikali imewahakikishia watalii nchini China kuwa, wataanza kufuatwa na ndege za shirika la Air Tanzania, na kuwaleta moja kwa koja nchini kwaajili ya masuala mbalimbali ikiwemo utalii na biashara. Read more about Ndege za Tanzania kuwafuata kwao Wachina laki 1