Tunatanua magereza,tuwasweke watu ndani - RC Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amebainisha kuwa Mkoa wake unatarajiwa kupanua moja ya gereza mkoani humo ili kuhakikisha wanawasweka ndani watu ambao amewadai kupindisha kile ambacho amekuwa akikiagiza kifanyike.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS