Azam FC yaitamani Yanga

Kikosi cha Klabu ya Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Azam FC

Klabu ya Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Azam FC imesema itafanya kila namna ili iweze kupata ushindi katika mechi yake dhidi ya Yanga SC siku ya Jumamosi, japokuwa wanaifahamu ubora na ukubwa wa timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS