Kikosi cha Klabu ya Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Azam FC
Klabu ya Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Azam FC imesema itafanya kila namna ili iweze kupata ushindi katika mechi yake dhidi ya Yanga SC siku ya Jumamosi, japokuwa wanaifahamu ubora na ukubwa wa timu hiyo.