Bocco amnyoshea mikono Kaseja

Nahodha wa klabu ya wekundu wa Msimbazi John Bocco

Nahodha wa klabu ya wekundu wa Msimbazi John Bocco amefunguka na kumwagia sifa mlinda mlango wa Kagera Sugar Juma Kaseja kwa kusema yeye ni kipa bora ambae anamuheshimu sana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS