Aubameyang aachwa na Dortmund Mshambuliaji wa klabu ya Borussia Dortmund Pierre Aubameyang ameachwa kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo waliosafiri kuelekea jijini Berlin kwajili ya mchezo wa leo dhidi ya Hertha Berlin. Read more about Aubameyang aachwa na Dortmund