Waziri Majaliwa ataka watatu kukamatwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza kamanda wa  (TAKUKURU) mkoa wa Mtwara Bw. Stephen Mafipa kumtafuta popote alipo na kumkamata aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Masasi Bw. Fortunatus Kagoro kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS