Maandamano yafika kwa Mambosasa
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam limewaonya wananchi ambao wanaojiandaa na maandamanoo yanayoratibiwa kupitia mitandao ya kijamii na kusema kwamba wasijaribu kufanya hivyo kwani wataingia kwenye matatizo makubwa.

